Fichuka: Angalia usije ukaogopa kuogopa.


Fichuka:Unaogopa kuanza, unaogopa kuendelea, unaogopa kuacha, unaogopa kukubali, unaogopa kulala peke yako, unaogopa giza, unaogopa kufanya jambo jipya, unaogopa...Angalia usije UKAOGOPA KUOGOPA. Mwamini Mungu kwa kila jambo unalotaka kulifanya.Muombe Mungu kwanza akujengee stamina ya ndani. Kumbuka waoga hawana sehemu kwenye Ufalme wa Mungu. Haya sasa, jikague, ungekuwa wapi kama yote uliyoogopa kuyafanya ungeyafanya? UNACHOOGOPA KINAKUTAWALA,na huu ni utumwa wa ajabu sana. Leo FICHUKA,ondoka katika hofu na mashaka na wasiwasi KWA JINA LA YESU. Anza sasa.Anza leo.

By Raphael JL:

Maoni