NANI WA KUAMBATANA NAYE?


 
- Waswahili tunasema kidole kimoja hakivunji chawa, pia tunasema ni heri wawili kuliko mmoja.
- Ni kweli kuwa katika njia au safari hatuwezi kukwepa kuambatana na watu/mtu.

- Swali, JE NI NANI WAKUAMBATANA NAYE?
Nani anayekufaa katika safari yako, je huyo mtu ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo au ni kondoo halisi?
-Tazama
kutoka 4:14
1samweli:20:16
1wafalme19:19

Endelea kufuatilia

Usikose kuwepo
Usikose nakala yako
40 DAYS LEFT
30/10/2016

Mratibu wa Fichuka.
Musa Joseph

0717720072

Maoni