FICHUKA



Quotes by Raphael JL:Kulazimisha watu wakukubali na huku wewe mwenyewe hujikubali na ndo maana unalazimisha ukubaliwe ni sawa kurukaruka kwenye upupu kwa kutumia mgongo ili ujikune panapokuwasha. FICHUKA.
Ushirika na Mungu!

Maoni