PATTERN PATTERN PATTERN

                      

 PATTERN PATTERN PATTERN

●Ukiona baba ana watoto kwa mama wawili au watatu tofauti...JIULIZE
● Ukiona unaishi na kaka zako kama watatu mbele yako hawajaoa na wewe ni mdogo kuliko wao na wapo tu....kila mahusiano yanaenda ila hayafiki mwisho....JIULIZE
● Ukiona unaishi na dada zako kama watatu mbele yako hawajaolewa na wewe ni mdogo kuliko wao na wapo tu....kila mahusiano yanaenda ila hayafiki mwisho....JIULIZE
● Naomba nielezee sasa. Muda wa discussion ukifika naachia hapo. Ila hili siwezi kunyamaza.
● Kwenye issue za INTELLIGENCE...moja kati ya zana za kufanyia kazi is your ability to make decisions and judgement based on PATTERN AND REPITIONS.....
🤔So kumbe you can see a certain pattern...mfano kama nataka kukukamata Faraja...nasoma pattern yako kwa muda hata wa mwezi...unaondoka home saa ngap, unapanda gari gani, unaelekea wapi, unakula wapi, unarudi home saa ngapi...baada ya mwezi I CAN PREDICT YOUR ROUT
● So unaweza kusoma PATTERN ZA FAMILIA...unaona una madada wanne na mpaka leo hawajaolewa...ila profile zao huwa zinabadilika based on INFATUATION...anampenda mtu...wanaanza kuelekea mahali...GHAFLA....
●Una wakaka mpaka wanageuka kuwa kama mababu...mpaka hata wewe mdogo unaogopa kuoa kwani duuu makaka wapo tu...wana kila sababu ya kuoa ila wapo tu...
● Ukichunguza unaiona PATTERN FULANI...
 Hii ni kama pattern ile ile ya unakuta baba ako alipata mtoto nje kabla ya wewe kuzaliwa...mama yako nae alikuja na mtoto...wakaona...wakakupata wewe na wenzako...hii nayo ni PATTERN...
● Ngoja niwape mfano wangu mwenyewe....
-Kuna pattern niliisoma kwenye familia yetu pande zote,yaani upande wa baba na mama pia...
- Nikaangalia...mama yangu mkubwa ambae ndo wa kwanza kwa upande wa mama ana watoto wanne na wote kila mmoja ana baba yake....
- Nikaangalia Mjomba.....yaani anaemfuata mama mkubwa...mtoto wa kwanza ana mama yake...mtoto wa pili ana mama yake na watoto watatu wa mwisho wana mama yao...PATTERN
- Nikamwangalia mtoto wa kwanza wa mama mkubwa...mtoto wa kwanza na mama yake...mtoto wa pili na mama yake na mtoto wa tatu na mama yake ambaye ndo amemuoa...
😊 Mama yangu alifanikiwa kutuzaa sisi tukiwa sita wote kwa baba mmoja..yeye tu alipona...ALIZIBA PENGO.
🔥NAOMBA KILA MTU AFANYE TATHMINI YA PATTERNS KWENYE FAMILIA YAKE NA WALIO TAYARI WASEME WANACHOKIONA.
   1.PATTERN IN ACADEMICS
   2.PATTERN IN RELATIONSHIPS
   3.PATTERN IN DEATH
   4.PATTERN IN MARRIAGE
   5.PATTERN IN LIFE PLANS AND VISIONS
   6.PATTERN IN PREGNANCY
   7.PATTERN IN DEASESES
●UNACHPASWA KUKIFANYA NI;
-DRAW THE LINE PRAYERS
 -MAY THE HOLY SPIRIT HELP YOU
 -REPENT.
- WATAKAOOMBA KWA IMANI, UTAKATIFU NA KUMAANISHA WATAPATA USHINDI
-SITEGEMEI KESHO,YAANI KUANZIA SAA SITA USIKU HUU KAMA HUMU NDANI WATU WATACHAT KAMA SIKU ZOTE...
- NAAMINI WATU WATAOMBA...WATATAFUTA SPACE HUKO WALIKO WAZAME KUOMBA NA SIO KUCAT MAOMBI HAPA
-MUNGU AWAFUNGUE WALIOCHOSHWA NA PATTERNS ZA UHARIBIFU
-WENGI MTAFUNGULIWA

  By Pastor Raphael JL


Maoni