Ads Top

HATA MBUNI ANA MAPAJA.


Quotes by Raphael JL:Ukiona binti anavaa nguo ambazo zinaonyesha nusu ya mapaja yake ujue ana akili za mapajani,ni wazi kwamba hajajitambua na kujua kuwa sebuleni hukaa watu wote ila chumbani kuna sheria. Unaowavutia kwa mapaja omba sana usiumwe upele. HATA MBUNI ANA MAPAJA.
Ushirika na Mungu!

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.