Quotes by Raphael JL:Kujisahaulisha hali ulonayo hakuiondoi hiyo hali. Kubali kuwajibika,hakuna malaika atakuja kukutoa kwenye hali yako kama hauko tayari. Njia rahisi na pekee ya kuukwepa ujinga ni kujifunza. CHOOSE TO BECOME. Ushirika na Mungu!
CHOOSE TO BECOME.
Reviewed by Musa
on
04:14:00
Rating: 5
Hakuna maoni: