Ads Top

USHUHUDA (CLOSET PRAYERS)


Shalom jaman,, kwa majina kamili Naitwa Rebeca, nimepata fursa ya kuwa humu kwa kipindi chote,, niliingia humu kwa sababu ya title ya tangazo reposition nmetamani sana kwa kipindi kirefu kuirudia nafasi yangu kimungu ila nlikua nakosa pa kuanzia ,, nlipoteza taste ya maombi,, yaan safar yang was vuru vuru, watu wa Mungu nlikua na muda finyu lakn kila nkikumbuka kua nataka kurudi kwa position yang ilinipa hamu na hatua maana nliona hii kama nafas ya pekee,, toka ijumaa sa ni kama nimelishwa pilipili yaan duh ni haielezek kwanza amani ya moyo nliyonayo pili national km nimeokoka Jana serious nimepata zaid ya nlichotarajia maana nimekua connected than ever before. Nna furaha na raha,, nlishasahu ku omba na kupewa mistar ya kusoma now nkiomba nkimaliZa tu nakua directed wap soma na nkisoma ni kama napita mule mule. Nlishasahau ku omba kwa Machoz jmn sa iv n kama mvua et ,, sauti ya Mungu ilikua ndo kama nmesuswa jamn within hii time ni kama rafk ananisemesha sjui sa ata nseme nn, Dad nakupenda members nawapenda Mungu atuimarishe

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.