Ads Top

TUSI LA ADUI HALIUMI


Quotes by Raphael JL: Mtu asiekuelewa atakuchosha sana maana hawezi kuona wema na thamani yako. Badala ya kuumia kwa kuwa asiekuelewa hakubaliani na unachosema au kufanya, furahia na yule anaekuelewa. TUSI LA ADUI HALIUMI.
Ushirika na Mungu!

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.