Ads Top

THE ROLE OF INFORMATION IN 21ST CENTURY


THE ROLE OF INFORMATION IN 21ST CENTURY


Knowledge is a function of Truth = the source
Truth is not equal to fact

Those who have authority are those with the right information because in this world information is all needed.

1.      Kusikia sio kuelewa
2.      Kuelewa sio kufanya
3.      Kufanya sio kupatia
4.      Ni lazima ufanye kama ulivyoelewa.

TAARIFA
·         Nzuri-good
·         Mbaya-bad
·         Sahihi-right
·         Si sahihi-wrong
·         Uongo-lie
·         Ukweli-true

Utajuaje kuwa una taarifa sahihi za mtu yaani KUMUELEA, KUMKUBALI, KUMWAMINI, KUMPENDA, UMEMZOEA?
-          -UTAMTETEA

Mtu yeyote anayemtetea mtu au kitu ni lazima awe amefikia hatua hizo zote tajwa.
Na kama unamtetea mtu je ni taarifa gani za kwake ulizo nazo? Aina za taarifa hizo zimetajwa juu.
Na kama unamtetea mtu na huna moja kati ya aina taarifa hapo juu basi bado haujafikia kiwango cha kumtetea.

Tag word
Don’t assume life, life is more than assumption

When you know the truth and you choose to follow a lie, the result is life suffering.

Quotes by Raphael Lyela
What you know remains powerful and relevant to you as long as nothing new and more powerful than what you know get into your mind because when it does changes are unkwepable

Lesson: Truth is never a function of percentage, it’s the function of wholeness

Danieli 12:9-10 NEN
' Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho. Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu. '

Danieli 12:9-10 BHN
'Akanijibu, ‘Danieli, sasa nenda zako, kwani maneno haya ni siri na yamefungwa kwa kutiwa mhuri mpaka wakati wa mwisho. Watu wengi wataondolewa uchafu, watatakaswa na kusafishwa. Lakini watu waovu wataendelea kutenda uovu. Hakuna hata mmoja wa hao waovu atakayeelewa; wenye hekima ndio watakaoelewa. '



                                                Kiroho (Mwanzo 1:26,27)                              Devil akatawala
Adam (Mwanzo 3:1-)                                                            
Kimwili (Mwanzo 1:28-2:1->)                        Uadui ukazaliwa



Eva alikuwa na taarifa sahihi kutoka kwa Mungu juu ya mti, nyoka alipokuja naye akaleta taarifa zake ambazo zikamfanya Eva azikubali.
-        -  Kuzikubali taarifa za mwingine na wewe una taarifa za kitu hicho kunatokana na nguvu za hizo taarifa unazozipokea. taarifa mpya zikiwa na nguvu ya kuzidi ulichonacho ndipo zenyewe zitachukua nafasi
-           
Asilimia 75 ya ukweli bado ni uongo
Kuongea ukweli nje ya nafasi yako huo bado utakuwa ni uongo

Mti wa ujuzi wa mema na mabaya ulikuwa coded kama body of information, kula tunda ni kukubali, kuelewa na kumwamini nyoka, maana yake akazipokea taarifa zote na zikameza zile alizonazo. Adam hakudanganywa na nyoka ila alikubali kuelewa na kukubali kupokea taarifa za uongo za shetani.
Kabla adam hajala tunda/hajakubaliana na Hawa alikuwa  anaishi maisha ya ukaribu na Mungu na baada ya kukubali uongo wa nyoka/kula tunda wakatengana na Mungu/kuwa mbali na Mungu. Walikuwa uchi maana yake alikuwa disconnected na Mungu.
Baada ya hapo alipoteza malaka ya kiroho naya kimwili pia. Baada ya hapo ndipo Ibilisi akaanza kutawala na ndipo Uadui ukazaliwa. Hapo ndipo kukazaliwa mbegu (Seeds):
1.    - Mbegu ya uzima
2.     - Mbegu ya uharibifu

Vizazi vyote vilivyofuata vilikaa kwenye either uzima au uharibifu. Hata baada ya vizazi tofauti vilivyotenda dhambi na kumchukiza Mungu kuharibiwa na kuisha kabisa lakini bado vizazi vilivyofuata viliendelea tena na dhambi. Mfano gharika

Ukiwa nje ya nafasi huwezi ongea ukweli


Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.