Ads Top

GOD INCIDENCE YOUTH CAMP: ZENGWE na Mwl MAKWAYA.




ZENGWE

KUNA TAFRANI/ZENGWE HUWA VINATUPATA ILI KUTUINUA JUU ZAIDI
Mathayo 27:1-66
Tafraninighasiafujoambazomtuhusababshiwakiasiizinawezakumfanyamtukushindwakutulia
Zengwe ni aina fulani ya vizuizivinawekwailiusifanikishejambo Fulani au uonekanehaufai
Karibukilangaziunayopigayakukuakirohohuwanachangamotozakenazinawezakuwazakujisababishia au kusababishiwa.
Hivyotafrani/zengweknanyakatiMunguhuruhsuiliajipatieutukufunakutuinuasisikwautukufu wake.
Raha ya zengwekikupatawengiwajue
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA ZENGWE:
Watu wengi tunaishi bila kuwa tayari kwa mambo ambayo yanaweza kutupata mbeleni
Na wakati mzuri wakujiandaa ni wakati waamani, wakati wautulivu.
Ni        muhimusanakujiandaa, namaeneohayamatatunimuhimusanakuwavizurilablayakukutananalolote la mbeleni.
1.      Ijue huduma yako- kusudi-hatima
2.      Mtazamo chanya kwenye lolote linalokuja mbele yako.
3.      Uwe na muda wa kuwa katika maombi
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKATI YA ZENGWE.
Unapokuwakatikatiyazengwe au tafranambaloumesababishiwanaunaona mambo hayaendivizurikunahatihatikubwaunawezakukosea.
Ni muhimusanakuwamakinikatikakipindihikiambachohuwanikigumusana.
1.      Punguzakuongeasana.
2.      Waombeerehemawaliokusababishiazengwe/tafrani.
Zaburi130: 3-4
3.      JifunzenajizoeshekumsifuMungu
Matendo16:19-27
4.      Epukakabisakunung’unikanakulalamikiawengine
Kung’unikakunaufungaubongowakokuonanjia.
5.      MuaminiMungukwambaatakuvushakatikazengwehilo.

MAMBO YA KUZINGATIA BAADA YA ZENGWE
Tafranihuwahazidumumudamrefu.
SasabaadayakipindihikokupitanakamaniMunguamekuvushahuwaanakuwaamtuinanakutpakibalikikbwazaidiyakile cha awalikablayazengwenatafrani.
Hivyonimuhimusanakujuani mambo ganiyakufanyabaadayazengwe.
BAADHI YA MAMBO MUHIMU YA KUFANA BAAADA YA ZENGWE.
1.      Siwakumbushewatuubayawaliokusababishiakwalengo/niayakuwaumiza.
2.      UzidikunyenyekeakwaMunguiliaendeleekukutumiakuwasaidiawengine.
3.      UsiachekumtumaniaMungu.

“Vijanawasionamawaa, wazuriwauso, wazurwaHEKIMA, WEREVUkwasababuya MAARIFA yao, wenyeKUFAHAMUelimu,watakaoweza kusimamakatkajmba la mfalme, tena alimwambia awafundishe ELIMU yawakaldayo, naLUGHAyao.”
Daniel 1:4
Rumi 12:1-21(16), Ephesians 4:


Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.